Jeremiah 49:32


32 aNgamia wao watakuwa nyara,
nayo makundi yao makubwa ya ng’ombe yatatekwa.
Wale walio maeneo ya mbali
nitawatawanya pande zote,
nami nitaleta maafa juu yao
kutoka kila upande,”
asema Bwana.
Copyright information for SwhKC